Jumatatu, 6 Agosti 2018

Umeme wa Mashariki | Yule Anayeshikilia Ukuu // Juu ya Kila Kitu


✨Some feelings about God destroying this world by flood in the documentary the One Who Holds Sovereignty Over...
Annie Lee 發佈於 2018年7月18日星期三

Some feelings about God destroying this world by flood in the documentary the One Who Holds Sovereignty Over Everything
Due to God’s sovereignty, various birds and beasts could enter the ark orderly according to God’s instruct. There were big elephants, dainty rabbits, fierce tigers, meek sheep and various insects and so on. They could live in harmony in the ark and no longer slaughtered and fought with each other even they were natural enemies before. At that moment, they could conduct properly and didn’t cross the line. What a big miracle it was! Just as it goes in the hymn, “His deed is everywhere, His power is everywhere, His wisdom is everywhere, and His authority is everywhere.” Let’s see God’s wonderful deeds and realize His sovereignty!
Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.

Biblia inasema: "Kwa maana kama umeme unatoka mashariki, na huangaza mpaka magharibi; ndivyo pia kuja kwake Mwana wa Adamu kuwa." Mwenyezi Mungu, Kristo wa Siku za Mwisho, ameelezea kweli kubwa ya kumwokoa mwanadamu na kumkamilisha . Watu wengi kutoka madhehebu tofauti wanaotamani kweli na kuamini Mungu wamethibitisha kuwa Mwenyezi Mungu ni Bwana Yesu aliyerudi baada ya kutafuta na kuchunguza neno la Mwenyezi Mungu. Watu zaidi na zaidi wamerejea mbele ya kiti cha enzi cha Mwenyezi Mungu, wakipendeza neno la Mungu na ugavi wa maji yaliyo hai yaliyomo, wanahisi tamu katika moyo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni