Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya. Onyesha machapisho yote

Jumanne, 9 Aprili 2019

Wimbo wa kuabudu | Mtazamo wa Mungu kwa Mwanadamu

Wimbo wa kuabudu | Mtazamo wa Mungu kwa Mwanadamu

I
Matendo maovu ya wanadamu yanapomchukiza Mungu,
Ataiteremsha hasira Yake juu yao,
ila wanapotubu kwa kweli mbele Yake.
Watu wanapoendelea kumpinga Mungu,
Ghadhabu Yake haitakoma, hata watakapoangamizwa.
Hii ni tabia ya Mungu.

Jumapili, 7 Aprili 2019

Wimbo wa kuabudu | Shetani Hawezi Kubadili Chochote Chini ya Mamlaka ya Mungu

Wimbo wa kuabudu Shetani Hawezi Kubadili Chochote Chini ya Mamlaka ya Mungu

I
Ni kwa miaka ngapi, maelfu ya miaka,
Shetani amekuwa akimpotosha mwanadamu, akifanya mabaya mengi sana.
Vizazi, kimoja baada ya kingine vimedanganywa naye.
Oh, ni uhalifu kiasi kipi, uhalifu wa kuogofya
ambao Shetani amefanya katika dunia hii yote.
Alimchangamsha mwanadamu kupigana na Mungu, akamnyanyasa, na kumdanganya mwanadamu,
akatafuta kuuharibu mpango wa usimamizi wa Mungu.

Ijumaa, 5 Aprili 2019

Wimbo wa kuabudu | 79. Kazi na Maonyesho Huamua Kiini Chake


Wimbo wa kuabudu | 79. Kazi na Maonyesho Huamua Kiini Chake

I


Kiini cha Kriso kinaamuliwa na kazi Yake na maonyesho.

Na moyo ulio wa kweli, Anatimiza kile ambacho ameaminiwa nacho,

Anamwabudu Mungu aliye mbinguni na anatafuta mapenzi ya Baba Yake.

Haya yote yanaamuliwa na kiini Chake, na hivyo pia ufunuo Wake wa asili.

Jumatano, 26 Desemba 2018

50. Kazi ya Mungu Inaendelea Kuboreshwa

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki,Mwenyezi Mungu

50. Kazi ya Mungu Inaendelea Kuboreshwa

I
Kazi ya Mungu inaendelea kuwa bora;
ingawa kusudi linabaki bila kubadilika,
mbinu ya kazi Yake inabadilika kila wakati,
na hivyo pia wale wanaomfuata.
Kadiri ambavyo Mungu anafanya kazi zaidi,
ndivyo mwanadamu anavyojua zaidi, anavyomjua kikamilifu,
ndivyo tabia ya mwanadamu inavyobadilika zaidi
pamoja na kazi Yake ifaavyo.

Ijumaa, 21 Desemba 2018

134. Kutoa Sadaka ya Thamani Sana kwa Mungu

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki,Mwenyezi Mungu

134. Kutoa Sadaka ya Thamani Sana kwa Mungu

I
Baada ya miaka ya shida, kuadibiwa na kusafishwa,
mwanadamu hatimaye amedhoofika; utukufu, na mahaba, sasa yamepotea.
Sasa anaelewa ukweli wa kuwa mwanadamu na ibada ya Mungu.
Na hivyo anatoa sadaka ya thamani sana kwa Mungu wake,
ambaye anamtabasamia.

Jumatano, 19 Desemba 2018

225. Maonyesho ya Petro ya Upendo kwa Mungu

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki,Mwenyezi Mungu

225. Maonyesho ya Petro ya Upendo kwa Mungu

I
Chochote katika maisha ya Petro ambacho hakikuridhisha mapenzi ya Mungu
kilimfanya awe na wasiwasi.
Ikiwa hakikumpendeza Mungu, angehisi majuto,
akitafuta njia ya kujitahidi na kuridhisha moyo wa Mungu.
Hata katika mambo madogo zaidi katika maisha ya Petro,
alijihitaji kuridhisha mapenzi ya Mungu,
bila huruma kwa tabia yake ya zamani,
akijidai kwenda ndani zaidi katika ukweli.

Alhamisi, 22 Novemba 2018

nyimbo za kusifu na kuabudu | 76. Ni Mungu tu Ana Njia ya Uzima

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki

nyimbo za kusifu na kuabudu | 76. Ni Mungu tu Ana Njia ya Uzima

I
Njia ya uzima si kitu ambacho mtu yeyote anaweza kuwa nacho;
si kitu ambacho mtu yeyote anaweza kuipata kwa urahisi.
Kwani uzima unatoka tu kwa Mungu,
ni Mungu Mwenyewe pekee Aliye na kiini cha uzima,
ni Mungu pekee aliye na njia ya uzima.
Hivyo ni Mungu pekee ndiye chanzo cha uzima,
na kisima cha maji ya uzima kinachotiririka milele.

Ijumaa, 16 Novemba 2018

nyimbo za sifa | "1. Wimbo wa Ufalme (III) Watu Wote, Pigeni Kelele za Furaha!"

nyimbo za sifa1. Wimbo wa Ufalme (III)
Watu Wote, Pigeni Kelele za Furaha!

I
Watu wote wanaona nuru tena katika nuru ya Mungu.
Watu wote wanafurahia mambo mema katika neno la Mungu.
Mungu anatoka Mashariki, na anatokea huko.
Mungu aangaza mwanga Wake wa kupendeza na mataifa yote yanaangaza.
Yote yanaangaza sana, na hakuna linalobaki katika giza.
Katika ufalme, watu na Mungu wanaishi katika furaha isiyo na mipaka.

Jumamosi, 10 Novemba 2018

84. Matendo Ya Mungu Yanajaza Ulimwengu Mzima Tupu

84. Matendo Ya Mungu Yanajaza Ulimwengu Mzima Tupu

I
Mungu anatazama chini juu ya vitu vyote kutoka juu,
na Anatawala vitu vyote kutoka juu.
Wakati huo huo, Mungu ametuma wokovu Wake juu ya dunia.
Mungu anaangalia kutoka mahali Pake pa siri kila wakati,
kila hatua ya mwanadamu, kila kitu anachosema na kufanya.
Mungu anamjua mwanadamu kama kiganja cha mkono Wake.
Mahali pa siri ni makao ya Mungu, anga ndicho kitanda Mungu akilaliacho.

Ijumaa, 19 Oktoba 2018

150. Upendo na Kiini cha Mungu ni Vikarimu

Mungu anatoa kilicho bora zaidi, Anatoa upande Wake ulio mzuri.
Vitu vizuri, vitu vizuri zaidi, Anatoa.
I
Bila kufichua ama kuonyesha kuteseka Kwake.
Mungu, Anavumilia, Akingoja kwa kimya.
Sio baridi ama Aliyeganda, sio dalili ya unyonge.
Kiini cha Mungu na upendo Wake ni mkarimu kila wakati.
Mungu anatoa kilicho bora zaidi, Anatoa upande Wake ulio mzuri.
Vitu vizuri zaidi, vitu vizuri zaidi, Anatoa.

Alhamisi, 18 Oktoba 2018

Nyimbo za Mungu | Kanuni za Kutafuta Njia ya Kweli

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Nyimbo za Mungu

Nyimbo za Mungu | Kanuni za Kutafuta Njia ya Kweli

I
Ni kanuni gani za msingi zinazoonyesha njia ya kweli?
Ona kama Roho anafanya kazi, kwa ukweli unaonyeshwa;
ona ni nani anayeshuhudiwa, na anakuletea nini.
Kwani imani kwa Mungu inamaanisha imani kwa Roho wa Mungu.
Imani katika Mungu mwenye mwili ni imani katika ukweli kwamba
Yeye ni mfano halisi wa Roho wa Mungu,
Yeye ni Roho wa Mungu ambaye anachukua umbo la mwili,
Yeye ni Neno ambalo sasa limekuwa mwili.

Jumatano, 17 Oktoba 2018

85. Maneno Ya Mungu Ni Ukweli Usiobadilika Milele

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Nyimbo

85. Maneno Ya Mungu Ni Ukweli Usiobadilika Milele

I
Maneno ya Mungu ni ukweli, yasiobadilika milele.
Mungu ndiye mtoaji wa uzima, na kiongozi pekee wa mwanadamu.
Thamani na maana ya maneno Yake yanabainishwa na kiini chao,
sio kama mwanadamu anayakubali ama kuyatambua.
Hata kama hakuna mwanadamu ulimwenguni anayepokea maneno Yake,
thamani yao na usaidizi kwa mwanadamu hayapimiki.

Jumanne, 16 Oktoba 2018

13. Kama Tu Binadamu Watamwabudu Mungu wa Kweli Ndiyo Wataweza Kuwa na Jaala Nzuri

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Nyimbo

13. Kama Tu Binadamu Watamwabudu Mungu wa Kweli Ndiyo Wataweza Kuwa na Jaala Nzuri

Mungu aliumba dunia hii. Aliumba binadamu.
Alikuwa mjenzi wa utamaduni wa zamani wa Ugiriki na ustaarabu wa binadamu.
Mungu tu ndiye Anayefariji, Anayefariji binadamu huyu.
Mungu pekee ndiye Anayejali kuhusu binadamu huyu mchana na usiku.
Kukua kwa binadamu na kuendelea 
hakutenganishwi na mamlaka ya Mungu, mamlaka kuu ya Mungu.

Jumatatu, 15 Oktoba 2018

204. Jinsi ya Kujua Kuonekana na Kazi ya Kristo wa Siku za Mwisho

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Nyimbo
I
Kupata mwili kwa Mungu kutachukua kiini na maonyesho ya Mungu.
Na Atakapofanywa kuwa mwili Ataleta kazi ambayo Amepewa
ili kuonyesha kile Alicho, kuleta ukweli kwa wanadamu wote,
kuwapa uzima na kuwaonyesha njia.
Mwili wowote usiokuwa na kiini Chake hakika sio Mungu mwenye mwili.

Jumamosi, 13 Oktoba 2018

210. Mungu Mwenye Mwili Anapendeza Sana

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Nyimbo
I
Baada ya Mungu kupata mwili, akiishi maisha kati ya wanadamu,
Aliona upotovu wa mwanadamu, hali ya maisha yake.
Mungu katika mwili alihisi sana kutojiweza kwa mwanadamu,
jinsi gani wanavyodharaulika; Alihisi huzuni yake.
Mungu alipata huruma zaidi kwa hali ya binadamu,
na hangaiko zaidi kwa wafuasi Wake kutoka kwa silika Yake ya mwili.

Alhamisi, 11 Oktoba 2018

32. Jina la Mungu Linatukuzwa Kati ya Mataifa

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Nyimbo
I
Kusudi la hukumu ya Mungu ni kuhimiza utiifu wa mwanadamu;
kusudi la adabu ya Mungu ni kuruhusu mbadiliko wa mwanadamu.
Ingawa kazi ya Mungu ni kwa ajili ya usimamizi Wake,
hakuna kitu Anachofanya kisicho kizuri kwa mwanadamu.
Mungu anataka nchi mbali na Israeli watii jinsi Waisraeli walivyofanya,
kuwafanya kuwa wanadamu wa kweli,
ili katika nchi mbali na Israeli wafuasi wa Mungu watapatikana.
Huu ni usimamizi wa Mungu.

Jumatano, 10 Oktoba 2018

Nyimbo za Mungu | Kiini cha Kristo Ni Mungu

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Nyimbo za Mungu

Nyimbo za Mungu | Kiini cha Kristo Ni Mungu

I
Mungu anayekuwa mwili anaitwa Kristo,
hivyo Kristo anayeweza kuwapa watu ukweli anaitwa Mungu.
Si kupita kiasi kusema hivyo.
Kwani Ana kiini cha Mungu.
Ana tabia ya Mungu na hekima katika kazi Yake,
ambayo haifikiwi na mwanadamu.
Wale wanaojiita Kristo wenyewe ilhali hawawezi kufanya kazi Mungu ni wadanganyifu.

Jumanne, 9 Oktoba 2018

211. Mungu Katika Mwili Hufanya Kazi Kimya ili Kuwaokoa Wanadamu

I
Mungu alipata mwili, akabaki kujificha miongoni mwa wanadamu
ili kufanya kazi mpya, kutuokoa kutoka katika upotovu.
Anahifadhi maelezo.
Kwa mipango Aliyoifanya, Yeye hufanya kazi Yake hatua kwa hatua.
Maneno Yake yanaongezeka kila siku,
yakifariji, kukumbusha, kushutumu, na kuonya.

Jumatatu, 8 Oktoba 2018

nyimbo za kusifu na kuabudu | Anga Hapa ni Samawati Sana

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, nyimbo za sifa


Hii hapa anga,
anga iliyo tofauti sana!
I
Harufu ya kupendeza inasambazwa kote kwenye nchi, na hewa ni safi.
Mwenyezi Mungu alikuwa mwili na anaishi miongoni mwetu,
Akionyesha ukweli na kuanza hukumu ya siku za mwisho.
Maneno ya Mungu yanaweka wazi ukweli wa upotovu wetu,
tunatakaswa na kukamilishwa na kila aina ya jaribio na usafishaji.
Tunayaaga maisha yetu maovu na kubadilisha sura yetu ya zamani kuwa sura mpya.

Jumatano, 3 Oktoba 2018

Toa Akili na Mwili ili Kutimiza Agizo la Mungu

I
Kama washiriki wa jamii ya wanadamu,
kama wafuasi wa Kristo wa dhati,
ni wajibu wetu, jukumu letu
kutoa akili zetu na miili yetu
kwa kutimiza agizo la Mungu.
Kwa maana asili yetu yote ilitoka kwa Mungu,
na tunaishi kwa ajili ya kwa ukuu Wake.