Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Amri. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Amri. Onyesha machapisho yote

Jumapili, 25 Novemba 2018

Maneno ya Kristo Alipokuwa Akitembea Makanisani (I) | Amri za Enzi Mpya

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki

Maneno ya Kristo Alipokuwa Akitembea Makanisani (I) | Amri za Enzi Mpya

Mmeambiwa kuwa mjiandae kwa maneno ya Mungu, ya kuwa pasipo kujali kilichoandaliwa juu yenu, yote yamepangwa kwa mkono wa Mungu, na kwamba hakuna haja ya kuomba kwa bidii au kusali kwenu—haina maana. Ilhali kulingana na hali ya sasa, shida za kiutendaji mnazokumbana nazo hazitafakariki kwenu. Kama mnasubiri mipango ya Mungu tu, basi hatua zenu zitakaa zaidi, na kwa wale wasiojua kupitia kutakuwa na kulaza damu kwingi. Kwa hivyo, ikiwa umeshindwa kabisa kuyalewa mambo haya, basi umechanganyikiwa na kuwa mpumbavu katika uzoefu wako.

Jumatatu, 15 Oktoba 2018

Kazi katika Enzi ya Sheria

Smiley face
Kazi ambayo Yehova Alifanya kwa Waisraeli ilianzishwa miongoni mwa binadamu mahali pa asili pa Mungu hapa ulimwenguni, pahali patakatifu ambapo Alikuwepo. Hii kazi Aliiwekea mipaka miongoni mwa watu wa Israeli tu. Kwanza, hakufanya kazi nje ya Israeli; badala yake, Alichagua watu Alioona kwamba walifaa ili kuwawekea mipaka upana wa kazi Yake. Israeli ndipo mahali ambapo Mungu Aliwaumba Adamu na Hawa, na kutoka kwenye vumbi la mahali hapo, Yehova Alimwumba mwanadamu; ndio msingi wa kazi Yake ya hapo ulimwenguni.

Ijumaa, 6 Aprili 2018

Amri Kumi Za Utawala Ambazo Lazima Zitiiwe Na Watu Waliochaguliwa Na Mungu Katika Enzi Ya Ufalme

Amri Kumi Za Utawala Ambazo Lazima Zitiiwe Na Watu Waliochaguliwa Na Mungu Katika Enzi Ya Ufalme


1. Mwenyezi Mungu alisema, Mwanadamu hapasi kujitukuza wala kujipa sifa. Anapaswa kumwabudu na kumsifu Mungu.
2.Unapaswa kufanya lolote ambalo lina manufaa kwa kazi ya Mungu, na hupasi kufanya chochote ambacho kitaleta madhara kwa manufaa ya kazi ya Mungu. Unapaswa kutetea jina la Mungu, ushahidi Wake, na kazi ya Mungu.

Alhamisi, 8 Februari 2018

Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe III | 6. Ibada Mlimani | 7. Mifano ya Bwana Yesu | 8. Amri

6. Ibada Mlimani | 7. Mifano ya Bwana Yesu | 8. Amri

Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu, Bwana Yesu,
Ibada Mlimani

6. Ibada Mlimani
1) Sifa na Heri (Mt 5:3-12)
2) Chumvi na Nuru (Mt 5:13-16)
3) Sheria (Mt 5:17-20)
4) Kuhusu Hasira (Mt 5:21-26)
5) Kuhusu Uzinzi (Mtt 5:27-30)
6) Kuhusu Talaka (Mt 5:31-32)
7) Kuhusu Viapo (Mt 5:33-37)
8)Kuhusu Kujilipiza Kisasi (Mt 5:38-42)

Jumapili, 4 Februari 2018

Mamlaka ya Mungu | 4. Amri ya Mungu kwa Shetani

4. Amri ya Mungu kwa Shetani

Ayubu 2:6 Naye Yehova akasema kwa Shetani, Tazama, yeye yuko katika mkono wako; lakini uuhifadhi uhai wake.
Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu, Biblia,
Shetani hupendeza kwa Ayubu katika jaribio hilo

Shetani Hajawahi Kuthubutu Kukiuka Mamlaka ya Muumba, na Kwa Sababu Hiyo, Vitu Vyote Vinaishi kwa Mpangilio

Mwenyezi Mungu alisema, Hili ni dondoo kutoka katika Kitabu cha Ayubu, na “yeye” katika maneno haya inaashiria Ayubu. Ingawaje imeandikwa kwa muhtasari, sentensi hii inaelezea masuala mengi. Inafafanua mabadilishano fulani kati ya Mungu na Shetani kwenye ulimwengu wa kiroho, na inatwambia kuwa kiini cha maneno ya Mungu kilikuwa Shetani. Pia inarekodi kile kilichozungumziwa mahususi na Mungu. Maneno ya Mungu yalikuwa amri na shurutisho kwa Shetani.