Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mwenyezi-Mungu-alisema. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mwenyezi-Mungu-alisema. Onyesha machapisho yote
Jumatatu, 29 Januari 2018
Jumatatu, 18 Desemba 2017
Umeme wa Mashariki | Tamko la Kumi na Saba
![]() |
| Umeme wa Mashariki | Tamko la Kumi na Saba |
Umeme wa Mashariki | Tamko la Kumi na Saba
Mwenyezi Mungu alisema, Sauti Yangu inatoka kama radi, ikitia nuru roboduara zote nne na dunia nzima, na katikati ya radi na umeme, binadamu wanaangushwa chini. Hakuna mwanadamu aliyewahi kusimama imara katikati ya radi na umeme: Wanadamu wengi wanaogopa sana kuja kwa mwangaza Wangu na hawajui cha kufanya. Wakati mwangaza hafifu unaanza kuonekana Mashariki, watu wengi, wakiongozwa na huu mng’ao dhaifu, wanaamshwa mara moja kutoka kwa njozi zao.
Jumamosi, 16 Desemba 2017
Umeme wa Mashariki | Tamko La Tano
![]() |
| Umeme wa Mashariki | Tamko La Tano |
Umeme wa Mashariki | Tamko la Tano
Mwenyezi Mungu alisema, Wakati Roho Wangu anatoa sauti, Anaonyesha hali nzima ya tabia Yangu. Je, wewe unalifahamu hili? Kutolifahamu hili katika hatua hii itakuwa sawa na kunipinga moja kwa moja. Je umeona umuhimu ulioko humu? Je, unajua juhudi kiasi gani, kiasi gani cha nguvu, Ninatumia juu yako? Je, unaweza thubutu kuweka wazi kila ulichofanya mbele Yangu? Na mna ujasiri wa kujiita watu Wangu usoni Mwangu—hamna hisia za aibu, pia, bila mantiki yoyote! Wakati mmoja au mwingine, watu kama hawa watafukuzwa kutoka katika nyumba Yangu. Usithubutu kunidanganya, ukifikiri kwamba umesimama kwa ajili ya ushuhuda Wangu!
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)

