Ijumaa, 4 Oktoba 2019
Mwanadamu Anaweza Kuokolewa tu Katikati ya Usimamizi wa Mungu
Alhamisi, 3 Oktoba 2019
Kutanafusi kwa Mwenye Uweza
Ijumaa, 27 Septemba 2019
Wewe U Mwaminifu kwa Nani?
Ijumaa, 20 Septemba 2019
Wengi Wameitwa, Lakini Wachache Wamechaguliwa
Jumatatu, 16 Septemba 2019
Mungu na Mwanadamu Wataingia Rahani Pamoja (Sehemu ya Kwanza)
Jumamosi, 14 Septemba 2019
Kurejesha Maisha ya Kawaida ya Mwanadamu na Kumpeleka Kwenye Hatima ya Ajabu (Sehemu ya Kwanza)
Jumapili, 8 Septemba 2019
Mwanadamu Aliyeanguka Anahitaji Zaidi Wokovu wa Mungu Mwenye Mwili (Sehemu ya Pili)
Ijumaa, 23 Agosti 2019
Maelezo ya Kweli ya Kazi Katika Enzi ya Ukombozi
Jumapili, 11 Agosti 2019
Wote Wasiomjua Mungu Ndio Wanaompinga Mungu
Jumatatu, 5 Agosti 2019
Kumpenda Mungu tu Ndiko Kumwamini Mungu Kweli
Jumatano, 31 Julai 2019
Kumwamini Mungu Lazima Kulenge Uhalisi, Si Tamaduni za Kidini
Jumapili, 21 Julai 2019
Jinsi ya Kuhudumu kwa Upatanifu na Mapenzi ya Mungu
Alhamisi, 11 Julai 2019
Namna ya Kujua Tabia ya Mungu na Matokeo ya Kazi Yake Sehemu ya Tatu
Jumamosi, 29 Juni 2019
Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee VIII Mungu ni Chanzo cha Uhai kwa Vitu Vyote II Sehemu ya Tatu
Alhamisi, 27 Juni 2019
Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee VIII Mungu ni Chanzo cha Uhai kwa Vitu Vyote (II) Sehemu ya Kwanza
Mungu ni Chanzo cha Uhai kwa Vitu Vyote (II) Sehemu ya Kwanza
Jumanne, 28 Mei 2019
Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee III Mamlaka ya Mungu II Sehemu ya Kwanza
Leo tutaendelea na ushirika wetu kuhusu mada ya "Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee." Tayari tumekuwa na ushirika mara mbili katika mada hii, wa kwanza kuhusiana na mamlaka ya Mungu na wa pili kuhusiana na tabia ya haki ya Mungu. Baada ya kusikiliza ushirika huu mara mbili, je, mmepata ufahamu mpya wa utambulisho wa Mungu, hadhi, na hali halisi? Je, maono haya yamewasaidia kufikia maarifa mazito zaidi na uhakika wa ukweli kuuhusu uwepo wa Mungu? Leo Ninapanga kufafanua mada hii ya "Mamlaka ya Mungu."
Jumamosi, 11 Mei 2019
Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee I Mamlaka ya Mungu (I) Sehemu ya Kwanza
Jumamosi, 4 Mei 2019
Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe III (Sehemu ya Nne)
Halafu hebu tusome fahamu zifuatazo.
Ijumaa, 3 Mei 2019
Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe III Sehemu ya Tatu
Kifuatacho tutaangalia mfano uliozungumziwa na Bwana Yesu katika Enzi ya Neema.
3. Mfano wa Kondoo Aliyepotea
Jumanne, 30 Aprili 2019
Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe III Sehemu ya Pili
Tumezungumza tu kuhusu kazi yote ambayo Mungu amekamilisha, misururu ya mambo Aliyoyafanya kwa mara ya kwanza. Kila mojawapo ya mambo haya yanahusiana na mpango wa Mungu wa usimamizi na mapenzi ya Mungu. Yanahusiana pia na tabia binafsi ya Mungu na kiini Chake. Kama tunataka kuelewa bora zaidi kile Alicho nacho Mungu na kile Alicho, hatuwezi kukoma katika Agano la Kale au katika Enzi ya Sheria, lakini tunahitaji kusonga mbele pamoja na hatua ambazo Mungu alichukua katika kazi Yake. Hivyo basi, Mungu alipotamatisha Enzi ya Sheria na kuanza Enzi ya Neema, hatua zetu binafsi zimefika katika Enzi ya Neema—enzi iliyojaa neema na ukombozi. Katika enzi hii, Mungu tena Alifanya kitu cha muhimu sana kwa mara ya kwanza.



















