Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Chanzo-cha-uzima. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Chanzo-cha-uzima. Onyesha machapisho yote

Jumatano, 14 Februari 2018

Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee VII | (II) Mungu ni Chanzo cha Uhai kwa Vitu Vyote | Hadithi ya 1. Mbegu, Ardhi, Mti, Mwanga wa Jua, Chiriku, na Mwanadamu

(I) Mungu ni Chanzo cha Uhai kwa Vitu Vyote

Mwenyezi Mungu alisema, Leo Nitashiriki nawe mada mpya. Mada itakuwa ni nini? Kichwa cha mada kitakuwa "Mungu ni Chanzo cha Uhai kwa Vitu Vyote." Je, hii siyo mada kubwa kidogo kuweza kuijadili? Je, inaonekana kama kitu ambacho kidogo hakiwezi kufikika? Mungu kuwa chanzo cha uhai kwa vitu vyote inaweza kuonekana ni mada ambayo watu wanahisi kutohusika nayo, lakini wote wanaomfuata Mungu wanapaswa kuielewa.

Jumatatu, 22 Januari 2018

Matamshi ya Kristo wa Siku za Mwisho | “Mungu Ndiye Chanzo cha Uhai wa Mwanadamu” Wewe ni Bwana wa Maisha Yangu

   Matamshi ya Kristo wa Siku za Mwisho | “Mungu Ndiye Chanzo cha Uhai wa Mwanadamu” Wewe ni Bwana wa Maisha Yangu

Utambulisho

    Mwenyezi Mungu alisema, “Ukuu na nguvu ya uhai wa Mungu hauwezi kueleweka na kiumbe chochote. Hii ilikuwa hivyo awali, iko hivyo wakati huu, na itakuwa hivyo wakati ujao. Siri ya pili Nitakayotoa ni hii: chanzo cha uhai hutoka kwa Mungu, kwa viumbe vyote, haijalishi tofauti katika maumbile au muundo. Hata uwe kiumbe hai cha aina gani, huwezi kwenda kinyume na njia ya maisha ambayo Mungu ameweka. Katika hali yoyote, kile Napenda ni kuwa mwanadamu aelewe kwamba bila huduma, utunzaji, na utoaji wa Mungu, mwanadamu hawezi kupokea yote aliyokusudiwa kupokea, haijalishi juhudi au mapambano yake. Bila ruzuku ya uhai kutoka kwa Mungu, mwanadamu hupoteza maana ya thamani katika maisha na kupoteza madhumuni ya kusudi katika maisha.”

    Soma zaidi: Asili ya Kanisa la Mwenyezi MunguUmeme wa Mashariki

Alhamisi, 7 Desemba 2017

Bwana Wangu Ni Nani Fupi - Christ is the Source of Life as Well as the Lord of the Bible



Bwana Wangu Ni Nani Fupi - Christ is the Source of Life as Well as the Lord of the Bible


    The Lord Jesus said, ""Search the scriptures; for in them you think you have eternal life: and they are they which testify of me. And you will not come to me, that you might have life"" (Jhn 5:39-40). Does only the Bible have eternal life, or can you attain eternal life through God? How does Christ of the last days bestow eternal life upon man? This video will give you all the answers.