Jumatatu, 17 Septemba 2018

Filamu za Kikristo | “Toka Nje ya Biblia” Movie Clip: Mungu Hufanya Kazi Kulingana na Biblia?


🎬👀🎬

Filamu za Kikristo | “Toka Nje ya Biblia” Movie Clip: Mungu Hufanya Kazi Kulingana na Biblia?
Wakati Bwana Yesu alkuwa akifanya kazi Yake katika Enzi ya Neema, akihubiri kwamba ufalme wa mbinguni umekaribia na kuwaleta watu katika njia ya toba, Mafarisayo Wayahudi walimhukumu Yeye, wakisema kwamba maneno na kazi Yake zilikuwa kinyume na sheria za Agano la Kale, eti kuwa zilienda zaidi ya Agano la Kale, na kuwa yalikuwa ni uzushi. Katika siku za mwishoMwenyezi Mungu anafanya kazi Yake ya hukumu akianza na familia ya Mungu na anaelezea ukweli wote ambao unatakasa na kumuokia mwanadamu, na wachungaji na wazee wa ulimwengu wa kidini wanahukumu, wakisema kuwa maneno na kazi ya MWenyezi Mungu huenda zaidi ya Biblia, na kwamba ni uzushi. Je , maneno na matendo ya Mungu yaliyoenda zaidi ya Biblia uzushi kweli? Ikiwa ni hivyo, si basi hata sisis tungekuwa tukihukumunkazi ya Bwana Yesu ? Je, Mungu hufanya kazi kulingana na Biblia au kulingana na haja ya kazi Yake kumuokoa mwanadamu?
Tazama zaidi: Umeme wa Mashariki | Filamu za Kikristo

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni