Jumapili, 9 Septemba 2018

Umuhumi wa Maombi

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Maombi,

Umuhumi wa Maombi

🎼🎼     → → πŸŽ™️πŸŽ™️  ↓↓    πŸ˜ŠπŸ˜Š 
I
Maombi ni njia moja ya mwanadamu kishirikiana na Mungu,
kuita Roho Wake na kuguswa na Mungu.
Kadiri unavyoomba zaidi, ndivyo utakavyoguswa zaidi, kutiwa nuru na kuwa na mawazo ya nguvu zaidi.
Watu kama hao wanaweza kufanywa kamili hivi karibuni.
Kadiri unavyoomba zaidi, ndivyo utakavyoguswa zaidi, kutiwa nuru na kuwa na mawazo ya nguvu zaidi.
Watu kama hao wanaweza kufanywa kamili hivi karibuni.
II
Hivyo wale wasioomba ni waliokufa bila roho.
Hawawezi kuguswa na Mungu, hawawezi kufuata kazi ya Mungu.
Watu wasioomba wanapoteza maisha ya kawaida ya kiroho,
wamevunja uhusiano na Mungu; Hatawakubali.
Watu wasioomba wanapoteza maisha ya kawaida ya kiroho,
wamevunja uhusiano na Mungu; Hatawakubali.
III
Kadiri unavyoomba zaidi, ndivyo utakavyoguswa zaidi, kutiwa nuru na kuwa na mawazo ya nguvu zaidi.
Watu kama hao wanaweza kufanywa kamili hivi karibuni.
Kadiri unavyoomba zaidi, ndivyo utakavyoguswa zaidi, kutiwa nuru na kuwa na mawazo ya nguvu zaidi.
Watu kama hao wanaweza kufanywa kamili hivi karibuni.
Watu kama hao wanaweza kufanywa kamili hivi karibuni.
Watu kama hao wanaweza kufanywa kamili hivi karibuni.
kutoka kwa "Kuhusu Desturi ya Sala" katika Neno Laonekana katika Mwili
kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya
Tazama zaidi:  Umeme wa Mashariki Nyimbo

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni