Jumatatu, 24 Desemba 2018

"Nimewahi Treni ya Mwisho" (3) : Nini Mungu Anapata Mwili Kufanya Kazi Yake katika Siku za Mwisho

"Nimewahi Treni ya Mwisho" (3) : Nini Mungu Anapata Mwili Kufanya Kazi Yake katika Siku za Mwisho

Kanisa la Mwenyezi Mungu hushuhudia kwamba katika zile siku za mwisho Bwana amerejea katika mwili kueleza ukweli na kufanya kazi Yake ya hukumu kuanzia na familia ya Mungu. Kwa nini Mungu anahitaji kupata mwili kwa ajili ya kufanya kazi Yake ya hukumu katika zile siku za mwisho? Je, Roho wa Mungu hawezi kufanya kazi hii? Kuna tofauti gani kati ya kazi ya Mungu mwenye mwili na kazi ya Roho?

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni