Jumatano, 19 Desemba 2018

225. Maonyesho ya Petro ya Upendo kwa Mungu

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki,Mwenyezi Mungu

225. Maonyesho ya Petro ya Upendo kwa Mungu

I
Chochote katika maisha ya Petro ambacho hakikuridhisha mapenzi ya Mungu
kilimfanya awe na wasiwasi.
Ikiwa hakikumpendeza Mungu, angehisi majuto,
akitafuta njia ya kujitahidi na kuridhisha moyo wa Mungu.
Hata katika mambo madogo zaidi katika maisha ya Petro,
alijihitaji kuridhisha mapenzi ya Mungu,
bila huruma kwa tabia yake ya zamani,
akijidai kwenda ndani zaidi katika ukweli.
Iwe ni kuadibiwa, kuhukumiwa, au taabu,
unaweza kutimiza utiifu hadi kifo.
Na huu unapaswa kutimizwa na kiumbe cha Mungu.
Huu ni usafi wa upendo wa Mungu.
Huu ni usafi wa upendo wa Mungu.
II
Petro alimpenda Mungu hadi kiwango kilichohitajika na Mungu.
Watu kama hao pekee ndio wanaweza kuwa na ushuhuda.
Katika imani yake, Petro alitafuta kumridhisha Mungu katika kila kitu,
akitii yote yaliyotoka kwa Mungu,
bila malalamiko, akikubali kuadibiwa na kuhukumiwa,
kusafishwa, kupungukiwa maishani na majonzi.
Hakuna ambacho kingeweza kutikisa upendo wake kwa Mungu.
Huu sio upendo wa hatima wa Mungu?
Hili halitimizi wajibu wa kiumbe cha Mungu?
Iwe ni kuadibiwa, kuhukumiwa, au taabu,
unaweza kutimiza utiifu hadi kifo.
Na huu unapaswa kutimizwa na kiumbe cha Mungu.
Huu ni usafi wa upendo wa Mungu.
Huu ni usafi wa upendo wa Mungu.
Huu ni usafi wa upendo wa Mungu.
kutoka katika "Mafanikio au Kushindwa Kunategemea Njia Ambayo Mwanadamu Hutembea" katika Neno Laonekana katika Mwili

Sikiliza nyimbo: nyimbo za dini, Neno la Mwenyezi Mungu

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni