Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kanuni-ya-kazi. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kanuni-ya-kazi. Onyesha machapisho yote

Jumapili, 25 Februari 2018

Roho Mtakatifu Hufanya Kazi kwa Njia yenye Maadili

Roho Mtakatifu, Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki,
Roho Mtakatifu Hufanya Kazi kwa Njia yenye Maadili


Roho Mtakatifu Hufanya Kazi kwa Njia yenye Maadili

Qin Shuting Jijini Linyi, Mkoani Shandong
Kwa muda fulani, ingawa sikuwa nimeacha kula na kunywa manen0 ya Mungu, sikuhisi mwanga kamwe. Nilikuwa nimeomba kwa Mungu kwa ajili ya hili lakini, baadaye, bado sikuwa nimepata nuru. Hivyo niliwaza, “Nimekula na kunywa kile ambacho nilipaswa na Mungu hanipi nuru. Hakuna kile ninachoweza kufanya, na sina uwezo wa kupokea maneno ya Mungu. Kuna wakati wa Mungu kumpa kila mwanadamu nuru, kwa hivyo hakuna maana ya kuiharakisha.” Baadaye, nilishika amri na kula na kunywa maneno ya Mungu bila wasiwasi, nikingoja kwa “subira” kutoa nuru kwa Mungu.