Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kazi-Mpya-ya-Mungu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kazi-Mpya-ya-Mungu. Onyesha machapisho yote

Jumapili, 25 Machi 2018

Ni kwa Nini Ulimwengu wa Kidini Wenye Wayowayo kwa Hasira Unaipinga na Kuishutumu Kazi Mpya ya Mungu Daima?

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, kumjua Mungu,
Ni kwa Nini Ulimwengu wa Kidini Wenye Wayowayo kwa Hasira Unaipinga na Kuishutumu Kazi Mpya ya Mungu Daima?








Ni kwa Nini Ulimwengu wa Kidini Wenye Wayowayo kwa Hasira Unaipinga na Kuishutumu Kazi Mpya ya Mungu Daima?

Mara mbili ambapo Mungu amepata mwili kutembea duniani na kufanya kazi ya kumwokoa mwanadamu Amekumbana na upinzani mkubwa, shutuma na mateso ya hasira kutoka kwa viongozi katika dunia ya kidini, ukweli ambao umewakanganya na hata kuwashtua watu: Ni kwa nini kila wakati Mungu anapoonyesha hatua ya kazi mpya Yeye daima hukumbana na aina hii ya utendewaji? Ni kwa nini wale ambao humpinga Mungu kwa hasira zaidi na ujeuri ni viongozi wa dini wanaosoma Biblia tena na tena na ambao wamemhudumia Mungu kwa miaka mingi? Ni kwa nini viongozi hao wa kidini ambao watu huona kuwa wacha Mungu zaidi, waaminifu zaidi na watiifu kwa Mungu kwa hakika hawawezi kulingana na Mungu, na badala yake daima wanatenda kwa ukaidi, na kuwa maadui wa Mungu?