Watu wengi walio na imani kwa Bwana wanasadiki kwamba ufalme wa mbinguni uko mbinguni. Je, hivyo ndivyo ilivyo kwa kweli? Sala ya Bwana inasema: "Baba yetu uliye mbinguni, Jina lako litukuzwe. Ufalme wako uje, Mapenzi yako yatimizwe, hapa duniani kama huko mbinguni" (Mathayo 6:9-10). Kitabu cha Ufunuo kinasema, "Falme za dunia zimekuwa falme za Bwana wetu, na za Kristo wake" (Ufunuo 11:15). "Mji mtakatifu, Yerusalemu mpya, ukishuka kutoka kwa Mungu mbinguni, … maskani ya Mungu yako pamoja na wanadamu" (Ufunuo 21:2-3). Hivyo, ufalme wa mbinguni uko mbinguni au ulimwenguni?
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kuchunguza-njia-ya-Kwenda-katika-Ufalme-wa-Mbinguni. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kuchunguza-njia-ya-Kwenda-katika-Ufalme-wa-Mbinguni. Onyesha machapisho yote
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)