Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kuokolewa. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kuokolewa. Onyesha machapisho yote

Ijumaa, 24 Novemba 2017

Mwanadamu Anaweza Kuokolewa Tu Katikati ya Usimamizi wa Mungu


Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu,  Mwenyezi Mungu,


Mwanadamu Anaweza Kuokolewa tu Katikati ya Usimamizi wa Mungu


Mwenyezi Mungu alisema,Kila mtu anahisi kuwa usimamizi wa Mungu ni wa ajabu, kwa sababu watu wanafikiri kuwa usimamizi wa Mungu hauna uhusiano wowote na mwanadamu. Wanafikiri kuwa usimamizi wa Mungu ni kazi ya Mungu pekee, shughuli za Mungu, na hivyo wanadamu hawajali kuhusu usimamizi wa Mungu. Kwa njia hii, kuokolewa kwa wanadamu kumekuwa kusiko yakini na kusiko dhahiri, na kumebaki tu maneno matupu.