Baada ya ukweli wa Yesu aliyepata mwili kutokea, mwanadamu aliamini hili: Si Baba pekee aliye mbinguni, bali pia Mwana, na hata Roho Mtakatifu. Hii ndiyo dhana ya kawaida aliyonayo mwanadamu, kwamba kuna Mungu wa aina hii mbinguni: Utatu ambao ni Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu, wote katika nafsi moja.
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mafarisayo. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mafarisayo. Onyesha machapisho yote
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)
