Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo amwinamie-Mungu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo amwinamie-Mungu. Onyesha machapisho yote

Jumanne, 5 Juni 2018

Kama Tu Binadamu Watamwabudu Mungu wa Kweli Ndiyo Wataweza Kuwa na Jaala Nzuri

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Nyimbo,

Kama Tu Binadamu Watamwabudu Mungu wa Kweli Ndiyo Wataweza Kuwa na Jaala Nzuri



Mungu aliumba dunia hii. Aliumba binadamu.
Alikuwa mjenzi wa utamaduni wa zamani wa Ugiriki na ustaarabu wa binadamu.
Mungu tu ndiye Anayefariji, Anayefariji binadamu huyu.
Mungu pekee ndiye Anayejali kuhusu binadamu huyu mchana na usiku.
Kukua kwa binadamu na kuendelea 
hakutenganishwi na mamlaka ya Mungu, mamlaka kuu ya Mungu.