Mabadiliko ya Mtu Aliyeanguka(2)
Tong Xin Mkoa wa Fujian
Kwa sababu ya maisha katika kanisa, nilielewa kwamba Mungu ni mtakatifu na mwenye haki, na kwamba Yeye huchukia zaidi uchafu na upotovu wa wanadamu. Nilifikiria njia chafu ambazo kwazo nilikuzwa katika jeshi na kwamba labda singeweza kuokolewa na Mungu kama singebadilisha tabia yangu ya zamani, hivyo nikaanza kusoma maneno ya Mungu kwa shauku, nikitumaini kuwa ningeweza kupata suluhisho ndani yayo. Siku moja, nilisoma maneno haya kutoka kwa Mungu: “Kwa sababu ya kuzaliwa katika nchi ya uchafu vile, mwanadamu ameagamizwa kabisa na jamii, amekuwa akishawishiwa na maadili ya kikabaila, na amefundisha katika ‘taasisi za elimu ya juu.’
