Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo sauti-saba-za-radi-zinanguruma. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo sauti-saba-za-radi-zinanguruma. Onyesha machapisho yote

Jumapili, 17 Desemba 2017

Umeme wa Mashariki | Tamko La Kumi

Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu,
Umeme wa Mashariki | Tamko La Kumi

Umeme wa Mashariki | Tamko La Kumi

Mwenyezi Mungu alisema,Enzi ya Ufalme ni, hata hivyo, tofauti na nyakati za kale. Haihusu kile anachofanya mwanadamu. Badala yake, Mimi binafsi Natekeleza kazi Yangu baada ya kushuka duniani—kazi ambayo wanadamu hawawezi kuelewa wala kufanikisha. Tangu kuumbwa kwa ulimwengu mpaka leo, miaka hii yote daima imehusu kujenga kanisa, lakini hakuna mtu anayesikia kamwea kuhusu kujenga ufalme. Japokuwa Nazungumza kuhusu haya kwa kinywa Changu mwenyewe, yupo yeyote anayejua asili yake?