Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo watu-walio-waaminifu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo watu-walio-waaminifu. Onyesha machapisho yote

Jumatano, 6 Desemba 2017

Umeme wa Mashariki | Waovu Lazima Waadhibiwe

 Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu,
 Umeme wa Mashariki | Waovu Lazima Waadhibiwe


Umeme wa Mashariki | Waovu Lazima Waadhibiwe


Mwenyezi Mungu alisema,Kukagua kama unatenda uhaki katika kila jambo unalotenda, na iwapo matendo yako yanachunguzwa na Mungu, ni tabia za kanuni za wale wanaomwamini Mungu. Utaitwa mwenye haki kwa sababu una uwezo wa kukidhi matakwa ya Mungu, na kwa sababu umekubali utunzaji na ulinzi wa Mungu. Machoni pa Mungu, wote wanaokubali utunzaji, ulinzi na ukamilishaji Wake na wale waliopatwa Naye, ni wenye haki na hutazamwa kwa upendo sana Mungu.