Jumamosi, 9 Novemba 2019

“Kutoka kwa Kiti cha Enzi Hububujika Maji ya Uzima” – Tofauti Kati ya Njia ya Toba na Njia ya Uzima wa Milele | Swahili Gospel Movie Clip 6/9

“Kutoka kwa Kiti cha Enzi Hububujika Maji ya Uzima” – Tofauti Kati ya Njia ya Toba na Njia ya Uzima wa Milele | Swahili Gospel Movie Clip 6/9


Bwana Yesu na Mwenyezi Mungu ni Mungu mmoja. Bwana Yesu hufanya kazi ya ukombozi, Yeye anahubiri njia ya toba. Mwenyezi Mungu wa siku za mwisho anafanya kazi ya hukumu ya kuwatakasa wanadamu, Yeye huleta njia ya uzima wa milele. Sasa, kama unataka kujua tofauti kati ya njia ya toba na njia ya uzima wa milele, tafadhali angalia hii video fupi.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni