Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Furaha-katika. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Furaha-katika. Onyesha machapisho yote

Jumatano, 29 Novemba 2017

Ukaribisheni Urejeaji wa Bwana Yesu | Sifa na Ibada "Furaha katika Nchi Nzuri ya Kanaani"


Ukaribisheni Urejeaji wa Bwana Yesu | Sifa na Ibada "Furaha katika Nchi Nzuri ya Kanaani"


Furaha katika Nchi Nzuri ya Kanaani

Nimerudi kwa familia ya Mungu, mchangamfu na mwenye furaha.

Mikono yangu imemshika mpendwa wangu, moyo wangu ni miliki Yake.

Japo nimepitia Bonde la Machozi, nimeyaona mapenzi ya Mungu.

Mapenzi yangu kwa Mungu hukua siku baada ya siku, Mungu ndiye chanzo cha furaha yangu.

Nikiduwazwa na uzuri wa Mungu, moyo wangu umeshikizwa kwa Mungu.