- I
- Nasikia sauti ijulikanayo ikiniita mara kwa mara.
- Nikaamka na kuangalia kuona,
- ni nani aliye pale akizungumza.
- Sauti yake ni nyororo lakini kali,
- picha Yake nzuri!
- Nateseka kupigwa na kuvumilia maumivu makubwa,
- nikipapaswa na mkono Wake wenye upendo.
- Halafu natambua ni Mwenyezi ambaye nilipigana naye.
- Najichukia mwenyewe, kwa majuto makubwa,
- fikiria niliyoyafanya.
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo uzuri-wa-Mungu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo uzuri-wa-Mungu. Onyesha machapisho yote
Jumamosi, 18 Agosti 2018
Wimbo wa Uzoefu wa Maisha | Nimeuona uzuri wa Mungu
Jumatano, 29 Novemba 2017
Ukaribisheni Urejeaji wa Bwana Yesu | Sifa na Ibada "Furaha katika Nchi Nzuri ya Kanaani"
Ukaribisheni Urejeaji wa Bwana Yesu | Sifa na Ibada "Furaha katika Nchi Nzuri ya Kanaani"
Furaha katika Nchi Nzuri ya Kanaani
Nimerudi kwa familia ya Mungu, mchangamfu na mwenye furaha.
Mikono yangu imemshika mpendwa wangu, moyo wangu ni miliki Yake.
Japo nimepitia Bonde la Machozi, nimeyaona mapenzi ya Mungu.
Mapenzi yangu kwa Mungu hukua siku baada ya siku, Mungu ndiye chanzo cha furaha yangu.
Nikiduwazwa na uzuri wa Mungu, moyo wangu umeshikizwa kwa Mungu.
Alhamisi, 23 Novemba 2017
Anzeni Maisha Mapya - "Nimeuona uzuri wa Mungu" (Video Rasmi ya Muziki)
Nimeuona uzuri wa Mungu
I
Nasikia sauti ijulikanayo ikiniita mara kwa mara.
Nikaamka na kuangalia kuona, ni nani aliye pale akizungumza.
Sauti yake ni nyororo lakini kali, picha Yake nzuri!
Nateseka kupigwa na kuvumilia maumivu makubwa, nikipapaswa na mkono Wake wenye upendo.
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)
