Feng Jiahui na wazazi wake waliamini katika Bwana tangu alipokuwa mdogo. Alipokuwa na umri wa miaka 18 aliingia katika shule ya seminari, na katika miaka yake ya 30 akawa mhubiri katika kanisa la nyumba huko Shanxi, Uchina. Kwa miaka mingi, Feng Jiahui alidumisha imani madhubuti ya kuwa Biblia ilitiwa msukumo na Mungu, na kwamba lazima tuamini katika Mungu kwa mujibu wa Biblia. Aliamini kuwa hakukuwa na maneno yaliyonenwa na Mungu nje ya Biblia, na kwamba kuondoka kutoka kwa Biblia kutakuwa uzushi.
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kusimbua-Biblia. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kusimbua-Biblia. Onyesha machapisho yote
Ijumaa, 6 Desemba 2019
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)