Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mfululizo-wa-Filamu-ya-Mateso-ya-Kidini. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mfululizo-wa-Filamu-ya-Mateso-ya-Kidini. Onyesha machapisho yote

Alhamisi, 12 Desemba 2019

"Mazungumzo" – Kwa nini CCP Huwafuatia na Kuwakandamiza Wakristo Sana? | Swahili Christian Video Clip 1/6


Katiba ya China hutamka kwa dhahiri uhuru wa dini, lakini kisirisiri, serikali hutumia rasilimali nyingi mno za binadamu na za kifedha kwa kuikandamiza imani ya dini na kuwatesa Wakristo kikatili. Hata hawajaacha kununua vifaa vya hali ya juu zaidi kuwafuatia, kuwafuma, na kuwakamata Wakristo. Serikali ya China imewanyang'anya raia wake haki ya uhuru wa imani na imewanyima kwa utundu haki ya kuishi. Kwa hiyo kwa kweli ni nini sababu na lengo la CCP kufanya yote haya?

Sikiliza zaidi: