Mwanadamu anaishi katikati ya mwanga, ilhali hana habari kuhusu thamani ya mwanga huo. Hana ufahamu kuhusu kiini cha mwanga huo, na chanzo cha mwanga huo, na, zaidi ya hayo, hajui mmiliki wake ni nani. Ninapotuza mwanga huo miongoni mwa binadamu, papo hapo Ninachunguza hali ilivyo miongoni mwa wanadamu: Kwa sababu ya mwanga huo, watu wote wanabadilika, na wanakua, na wametoka gizani. Ninaangalia kila pembe ya ulimwengu, na Ninaona kuwa milima yote imefunikwa na ukungu, kwamba maji yameganda kwa ajili ya baridi, na kwamba, kwa sababu ya kuja kwa mwanga, watu wanatazama Mashariki ili wapate kuona kitu kilicho na thamani zaidi—ilhali mwanadamu bado hana uwezo wa kutambua njia ya wazi kwenye ukungu huo. Kwa sababu dunia nzima imefunikwa kwa ukungu, Ninapotazama kutoka mawinguni, kuwepo Kwangu hakujawahi kutambuliwa na mwanadamu;
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Ni-Jinsi-Gani-Bwana-Ataonekana-kwa-Mwanadamu-Atakaporudi-Tena?. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Ni-Jinsi-Gani-Bwana-Ataonekana-kwa-Mwanadamu-Atakaporudi-Tena?. Onyesha machapisho yote
Jumapili, 29 Desemba 2019
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)
