Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Tembea-na-Mungu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Tembea-na-Mungu. Onyesha machapisho yote

Jumapili, 21 Januari 2018

Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe II | B. Mungu Lazima Aangamize Sodoma.

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki,
Kanisa la Mwenyezi Mungu

B. Mungu Lazima Aangamize Sodoma.

(Mwa 18:26) Kisha BWANA akasema, Nikipata katika Sodoma wenye haki hamsini mjini, basi Nitapaacha mahali pote kwa ajili yao.
(Mwa 18:29) Na akazungumza tena naye, akasema, Huenda wakapatikana humo arobaini. Akasema, Sitafanya hivyo.
(Mwa 18:30) Akamwambia, labda watapatikana huko thelathini. Naye akasema, Sitafanya hivyo.
(Mwa 18:31) Kisha akasema, huenda wakaonekana huko ishirini. Naye akasema, Sitauharibu.
(Mwa 18:32) Naye akasema, huenda wakaonekana huko kumi. Naye akasema, Sitauharibu.