Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo kwamba-Yerusalemu-mpya. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo kwamba-Yerusalemu-mpya. Onyesha machapisho yote

Jumatano, 28 Februari 2018

"Ndoto Yangu ya Ufalme wa Kibinguni" (3) - Ufalme wa Mbinguni u Wapi Hasa?


 

Umeme wa Mashariki |  Ufalme wa Mbinguni u Wapi Hasa?


Utambulisho


Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu, Kurudi kwa Yesu mara ya pili,
Ufalme wa Mbinguni u Wapi Hasa?
Matamanio yetu makuu sisi tunaoamini katika Bwana ni kukaribisha kurudi kwa Bwana, kuletwa katika ufalme wa mbinguni, na kupokea ahadi na baraka za Mungu. Watu wengi wanaamini kwamba Bwana atakaporudi, tutainuliwa hewani kukutana na Bwana. Lakini katika Biblia, inasemekana kwamba Yerusalemu mpya itashuka kutoka mbinguni. "maskani ya Mungu yako pamoja na wanadamu," "falme za dunia zimekuwa falme za Bwana wetu, na za Kristo wake." Je, ufalme wa mbinguni uko angani au duniani? Bwana atawapelekaje watakatifu katika ufalme wa mbinguni atakaporudi?