Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Ahadi-ya-Mungu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Ahadi-ya-Mungu. Onyesha machapisho yote

Jumamosi, 23 Juni 2018

Ahadi ya Mungu kwa Waisraeli

Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu, Enzi ya Ukombozi,
Ahadi ya Mungu kwa Waisraeli


Katika mwaka wa Bwana wetu, mtoto wa kiume alizaliwa katika hori kwa nyumba ya wageni katika Bethlehemu ya Uyahudi. Wanaume watatu wenye busara kutoka mashariki, wakiongozwa na nyota ambayo haikuwahi kuonekana kabla, walifika mahali pa kuzaliwa kwa mtoto.Wakamsujudia kwa ibada. Mtoto huyu Ndiye aliyeahidiwa na Mungu, ambaye angewaongoza na kuwakomboa Waisraeli kutoka kwa sheria. Katika mwaka wa Bwana wetu, mtoto wa kiume alizaliwa katika hori kwa nyumba ya wageni katika Bethlehemu ya Uyahudi. Wanaume watatu wenye busara kutoka mashariki, wakiongozwa na nyota ambayo haikuwahi kuonekana kabla, walifika mahali pa kuzaliwa kwa mtoto.Wakamsujudia kwa ibada. Mtoto huyu Ndiye aliyeahidiwa na Mungu, ambaye angewaongoza na kuwakomboa Waisraeli kutoka kwa sheria.

Ijumaa, 2 Februari 2018

Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe II | 5. Ayubu Baada ya Majaribio yake

 Umeme wa Mashariki | 5. Ayubu Baada ya Majaribio yake

(Ayubu 42:7-9) Basi ikawa, baada ya BWANA kumwambia Ayubu maneno hayo, BWANA akamwambia huyo Elifazi Mtemani, Hasira yangu inawaka juu yako, na juu ya hao rafiki zako wawili: kwa kuwa nyinyi hamjanena yaliyo sawa kunihusu, kama alivyofanya mtumishi wangu Ayubu. Basi sasa, jichukulieni ng’ombe waume saba, na kondoo waume saba, muende kwa mtumishi wangu Ayubu, na mjitolee sadaka ya kuteketezwa; na mtumishi wangu Ayubu atawaombea: kwa kuwa yeye Nitamkubali: nisije Nikawatendea kulingana na makosa yenu, hivi kwamba nyinyi hamkunena maneno yaliyo sawa kunihusu, kama alivyofanya mtumishi wangu Ayubu. Hivyo Elifazi, Mtemani, na Bildadi, Mshuhi, na Sofari, Mnaamathi, wakaenda, wakafanya vile BWANA alivyowaamuru: BWANA pia akamkubali Ayubu.

Jumamosi, 20 Januari 2018

Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe II | Ibrahimu

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, neema,
Mungu alibariki Ibrahimu Sara akicheka

Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe II | Ibrahimu

Mwenyezi Mungu alisema, Kwenye mkutano wetu wa mwisho tuliweza kuzungumzia mada muhimu sana. Je, wakumbuka mada hiyo ilikuwa kuhusu nini? Hebu Niirudie. Mada ya ushirika wetu wa mwisho ilikuwa: Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe. Je, mada hii ni muhimu kwako? Ni sehemu gani katika mada hii ni muhimu kwako? Kazi ya Mungu, tabia ya Mungu, au Mungu Mwenyewe? Ni sehemu ipi inakuvutia zaidi? Ni sehemu ipi unayotaka kusikiliza kuhusu zaidi? Najua ni vigumu kwako wewe kulijibu swali hilo, kwa sababu tabia ya Mungu inaweza kuonekana katika kila kipengele cha kazi Yake, na tabia Yake inafichuliwa katika kazi Yake siku zote na pahali pote, na, kutokana na hayo, inawakilisha Mungu Mwenyewe; kwenye mpango wa usimamizi wa ujumla wa Mungu, kazi ya Mungu, tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe vyote hivi haviwezi kutenganishwa.