Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kumwabudu-Mungu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kumwabudu-Mungu. Onyesha machapisho yote

Jumamosi, 2 Novemba 2019

Maonyesho ya Mungu | "Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee II Tabia ya Haki ya Mungu" Sehemu ya Tano

Maneno ya Mungu katika video hii ni kutoka kitabu "Neno Laonekana katika Mwili".
Maudhui ya video hii:
Aina Tano za Watu
Aina ya Kwanza: Hatua ya Mtoto Mchanga aliyefungwa kwa Vitambaa
Aina ya Pili: Hatua ya Mtoto Mchanga Anayenyonya
Aina ya Tatu: Hatua ya Mtoto Mchanga Anayeachishwa Ziwa, au Hatua ya Mtoto Mdogo
Aina ya Nne: Hatua ya Mtoto Anayekomaa, au Kipindi cha Utoto
Aina ya Tano: Hatua ya Maisha Yaliyokomaa, au Hatua ya Mtu Mzima

Ijumaa, 25 Oktoba 2019

Wimbo Mpya wa Kusifu na Kuabudu 2019 | “Jinsi Upendo wa Mungu kwa Mwanadamu Ulivyo Muhimu” | MV

Wimbo Mpya wa Kusifu na Kuabudu 2019 | “Jinsi Upendo wa Mungu kwa Mwanadamu Ulivyo Muhimu” | MV


Mandhari iliyochorwa katika Biblia “Amri ya Mungu kwa Adamu”
ni ya kugusa na yenye kutia moyo.
Ingawa hiyo picha ina Mungu na mtu tu,
uhusiano kati ya hao wawili ni wa ndani sana tunaanza kuhisi mshangao.
Upendo wa Mungu unaofurika umepewa mwanadamu bure;
Mwanadamu, maasumu na safi, bila ya wajibu wa kumnyima uhuru,
huishi kwa furaha kamili machoni mwa Mungu.
Mungu humtunza mtu, na mtu huishi chini ya mabawa Yake.
Yote ambayo mtu hufanya, maneno yake yote na matendo,
yamefungwa pamoja na Mungu, hayawezi kujitenga.

Alhamisi, 24 Oktoba 2019

Wimbo wa Kanisa Niko Tayari Kutekeleza Wajibu Wangu kwa Uaminifu


Wimbo wa Kanisa 

Niko Tayari Kutekeleza Wajibu Wangu kwa Uaminifu


  • Mpendwa Mwenyezi Mungu, ni Wewe ndiye Unayenipenda,
    uliniinua kutoka kwa rundo la kinyesi hadi kwa mazoezi ya ufalme.
    Maneno Yako yamenitakasa,
    yakanifanya nianze kuishi maisha ya furaha.
    Moyoni mwangu nahisi, kwa kweli, ni upendo Wako mkuu.
    Aa … aa … aa … aa … Mpendwa Mwenyezi Mungu!
    Maneno Yako yote ni ukweli.
    Unastahili upendo wa binadamu.
    Ee Mungu! Ukipuuza uasi wangu wa zamani,
    Unanijali na kufanya kazi kuniokoa.
    Unaniongoza katika njia ya kweli,
    Ukitazama kila wakati katika upande wangu,
    natarajia tu nitakua na kuwa mtu mpya.
    Aa … aa … aa … aa … Mpendwa Mwenyezi Mungu!
    Nitafuatilia kukupenda Wewe, mwaminifu kwa wajibu ili kukufurahisha Wewe.

Jumanne, 15 Oktoba 2019

Wimbo wa Kwaya ya Injili | “Wimbo wa Ufalme: Ufalme Washuka Duniani” | Mtazamo Kimbele Uliorefushwa

Wimbo wa Kwaya ya Injili | “Wimbo wa Ufalme: Ufalme Washuka Duniani” | Mtazamo Kimbele Uliorefushwa


Wimbo wa kusisimua wa ufalme umevuma, ukitangazia ulimwengu wote kuwasili kwa Mungu kati ya mwanadamu! Ufalme wa Mungu umefika! Watu wote washangilia, vitu vyote vyafurahi! Kila kitu mbinguni kote kina furaha tele. Mandhari haya yanayopendeza mno ya shangwe ni yapi?

Jumanne, 16 Julai 2019

Mungu Anaongoza Majaliwa ya Wanadamu Wote

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki,Mwenyezi Mungu

Kama washiriki wa jamii ya binadamu na Wakristo wamchao Mungu, ni jukumu na wajibu wa sisi wote kutoa akili na mwili wetu kwa kutimiza agizo la Mungu, kwani uhai wetu wote ulitoka kwa Mungu, na upo kwa sababu ya ukuu wa Mungu. Kama akili zetu na miili yetu si kwa ajili ya agizo la Mungu na si kwa sababu ya kusudi la haki la mwanadamu, basi nafsi zetu hazina thamani kwa wale waliokufa kishahidi kwa ajili ya agizo la Mungu, na thamani ndogo zaidi kwa Mungu, aliyetupa kila kitu.
Mungu aliumba dunia hii, Aliumba mwanadamu huyu, na zaidi ya hayo Alikuwa muasisi wa utamaduni wa zamani wa Giriki na ustaarabu wa binadamu.

Ijumaa, 5 Aprili 2019

Wimbo wa kuabudu | 79. Kazi na Maonyesho Huamua Kiini Chake


Wimbo wa kuabudu | 79. Kazi na Maonyesho Huamua Kiini Chake

I


Kiini cha Kriso kinaamuliwa na kazi Yake na maonyesho.

Na moyo ulio wa kweli, Anatimiza kile ambacho ameaminiwa nacho,

Anamwabudu Mungu aliye mbinguni na anatafuta mapenzi ya Baba Yake.

Haya yote yanaamuliwa na kiini Chake, na hivyo pia ufunuo Wake wa asili.

Jumanne, 30 Januari 2018

Matamshi ya Kristo wa Siku za Mwisho "Mungu Anaongoza Majaliwa ya Wanadamu Wote"


Matamshi ya Kristo wa Siku za Mwisho "Mungu Anaongoza Majaliwa ya Wanadamu Wote"

Utambulisho

    Mwenyezi Mungu alisema, “Kama wewe ni Mkristo wa kweli, basi hakika utaamini kwamba kupanda na kushuka kwa nchi ama taifa lolote hufanyika kulingana na miundo ya Mungu. Mungu pekee hujua majaliwa ya nchi ama taifa, na Mungu pekee hudhibiti mwendo wa huyu mwanadamu. Iwapo mwanadamu anataka kuwa na majaliwa mazuri, iwapo nchi inataka kuwa na majaliwa mazuri, basi lazima mwanadamu ampigie Mungu magoti kwa ibada, atubu na kukiri mbele ya Mungu, la sivyo majaliwa na hatima ya mwanadamu hayataepuka kumalizika kwa janga.”
Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki,
Mungu Anaongoza Majaliwa ya Wanadamu Wote

    Kujua zaidi: Kuhusu Kanisa la Mwenyezi MunguUmeme wa Mashariki