Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Edeni. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Edeni. Onyesha machapisho yote

Jumatatu, 15 Januari 2018

Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe I | A. Adamu na Hawa

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Biblia,
Amri ya Mungu kwa Adamu

A. Adamu na Hawa

1. Amri ya Mungu kwa Adamu

(Mwa 2:15-17) BWANA Mungu akamchukua huyo mtu, na akamweka katika bustani ya Edeni ili ailime na kuitunza. BWANA Mungu akamwamuru huyo mtu, akisema, Matunda ya kila mti wa bustani unaweza kula: Lakini ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya, usiyale: kwa maana siku utakapokula matunda ya mti huo hakika utakufa.

Alhamisi, 28 Desemba 2017

Mungu ni Mungu | "Zingatia Majaliwa ya Binadamu" | Swahili Christian Song

Mungu ni Mungu | "Zingatia Majaliwa ya Binadamu" | Swahili Christian Song

Mungu awahimiza makabila yote, mataifa na nyanja zote:
Sikizeni sauti Yake, muione kazi Yake; 
mzingatie hatima ya wanadamu;
mfanye Mungu Mtakatifu na Mheshimiwa, Mkuu na wa pekee wakuabudiwa,

ulimwengu wote, na wanadamu, waishi chini ya baraka Yake Mungu,
kama vizazi vya Ibrahimu, walivyoishi na ahadi ya Yehova,
kama viumbe vya Mungu, Adamu na Hawa, walivyoishi bustani Edeni.