Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Ngozi. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Ngozi. Onyesha machapisho yote

Jumatatu, 15 Januari 2018

Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe I | A. Adamu na Hawa

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Biblia,
Amri ya Mungu kwa Adamu

A. Adamu na Hawa

1. Amri ya Mungu kwa Adamu

(Mwa 2:15-17) BWANA Mungu akamchukua huyo mtu, na akamweka katika bustani ya Edeni ili ailime na kuitunza. BWANA Mungu akamwamuru huyo mtu, akisema, Matunda ya kila mti wa bustani unaweza kula: Lakini ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya, usiyale: kwa maana siku utakapokula matunda ya mti huo hakika utakufa.