Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Ushauri-wa-Mungu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Ushauri-wa-Mungu. Onyesha machapisho yote

Jumatatu, 15 Januari 2018

Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe I | A. Adamu na Hawa

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Biblia,
Amri ya Mungu kwa Adamu

A. Adamu na Hawa

1. Amri ya Mungu kwa Adamu

(Mwa 2:15-17) BWANA Mungu akamchukua huyo mtu, na akamweka katika bustani ya Edeni ili ailime na kuitunza. BWANA Mungu akamwamuru huyo mtu, akisema, Matunda ya kila mti wa bustani unaweza kula: Lakini ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya, usiyale: kwa maana siku utakapokula matunda ya mti huo hakika utakufa.