Ijumaa, 9 Februari 2018

Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe III | 10. Hukumu ya Wafarisayo kwa Yesu | 11. Wafarisayo Kukemewa na Yesu

Umeme wa Mashariki | 10. Hukumu ya Wafarisayo kwa Yesu | 11. Wafarisayo Kukemewa na Yesu

10. Hukumu ya Wafarisayo kwa Yesu.
(Marko 3:21-22) Na rafiki zake waliposikia kulihusu, wakatoka kwenda kumkamata: kwa maana walisema, Amerukwa na akili. Na waandishi walioshuka kutoka Yerusalemu wakasema, Ana Beelzebuli, na kwa mwana wa kifalme wa pepo huwatoa pepo.
11. Wafarisayo Kukemewa na Yesu.
(Mat 12:31-32) Ndiyo maana nawaambia, Kila aina ya dhambi na kila neno la kufuru watasamehewa wanadamu: lakini kumkufuru Roho Mtakatifu hawatasamehewa wanadamu. Na mtu yeyote atakayenena neno dhidi ya Mwana wa Adamu atasamehewa, bali yule atakayenena neno juu ya Roho Mtakatifu hatasamehewa, katika ulimwengu wa sasa, wala katika ule ujao.

Alhamisi, 8 Februari 2018

Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe III | 9. Yesu Atenda Miujiza.

Umeme wa Mashariki | 9. Yesu Atenda Miujiza.

1) Yesu Awalisha Watu Elfu Tano.
Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu,
Yesu Awalisha Watu Elfu Tano
(Yohana 6:8-13) Mmoja wa wanafunzi wake, Andrea, nduguye Simoni Petro, akamwambia, Yupo mvulana hapa, aliye na mikate mitano ya shayiri na samaki wawili: lakini hivi ni nini kwa watu wengi kama hawa? Naye Yesu akasema, Wafanye watu hawa waketi chini. Na mahali pale palikuwa na majani mengi. Basi wale wanaume wakaketi, wapatao elfu tano kwa jumla. Kisha Yesu akaichukua ile mikate;

Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe III | 6. Ibada Mlimani | 7. Mifano ya Bwana Yesu | 8. Amri

6. Ibada Mlimani | 7. Mifano ya Bwana Yesu | 8. Amri

Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu, Bwana Yesu,
Ibada Mlimani

6. Ibada Mlimani
1) Sifa na Heri (Mt 5:3-12)
2) Chumvi na Nuru (Mt 5:13-16)
3) Sheria (Mt 5:17-20)
4) Kuhusu Hasira (Mt 5:21-26)
5) Kuhusu Uzinzi (Mtt 5:27-30)
6) Kuhusu Talaka (Mt 5:31-32)
7) Kuhusu Viapo (Mt 5:33-37)
8)Kuhusu Kujilipiza Kisasi (Mt 5:38-42)

Jumatano, 7 Februari 2018

Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe III | 4. Samehe Sabini Mara Saba | 5. Upendo wa Bwana

Umeme wa Mashariki | 4. Samehe Sabini Mara Saba | 5. Upendo wa Bwana

4. Samehe Sabini Mara Saba
(Mat 18:21-22) Kisha Petro akamwendea, na akamwambia, Bwana, ndugu yangu anikosee mara ngapi na mimi nimsamehe? Mpaka mara saba? Yesu akamwambia, Sikuambii mpaka mara saba: bali, mpaka sabini mara saba.
5. Upendo wa Bwana
(Mat 22:37-39) Yesu akamwambia, Umpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa akili zako zote. Hii ndiyo amri ya kwanza na iliyo kuu. Na ya pili inafanana nayo, Umpende jirani yako kama nafsi yako.
Mwenyezi Mungu alisema, Kati ya dondoo hizi mbili, moja yazungumzia msamaha na nyingine inazungumzia upendo. Mada hizi mbili zinaangazia kwa kweli kazi ambayo Bwana Yesu alitaka kutekeleza katika Enzi ya Neema.

Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe III | 3. Mfano wa Kondoo Aliyepotea

Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu,
Mfano wa Kondoo Aliyepotea

Umeme wa Mashariki | 3. Mfano wa Kondoo Aliyepotea

(Mat 18:12-14) Mnaonaje? Mtu akiwa na kondoo mia moja, na mmoja wao apotee, je, hawaachi wale tisini na tisa, aende milimani, na kumtafuta yule aliyepotea? Na iwapo atapata kumwona, amini nawaambieni, anamfurahia huyo kondoo mmoja zaidi, kuliko wale tisini na tisa ambao hawakupotea. Vivyo hivyo sio mapenzi ya Baba yenu aliye mbinguni, kwamba mmoja wa wadogo hawa aangamie.
Mwenyezi Mungu alisema, Hii ni sitiari—unapata hisia gani kutoka katika dondoo hii? Namna ambavyo sitiari hii inaelezwa inatumia mbinu za lugha katika lugha ya binadamu; ni kitu kilicho ndani ya mawanda ya maarifa ya binadamu.

Jumanne, 6 Februari 2018

Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe III | 12. Maneno ya Yesu kwa Wanafunzi Wake Baada ya Kufufuka Kwake

12. Maneno ya Yesu kwa Wanafunzi Wake Baada ya Kufufuka Kwake

(Yohana 20:26-29) Na baada ya siku nane wanafunzi wake walikuwa ndani tena, na Tomaso pamoja nao: Kisha akaja Yesu, na milango imefungwa, na akasimama katikati, kisha akasema, Amani iwe kwenu. Kisha akamwambia Tomaso, Weka hapa kidole chako, na utazame mikono yangu; na ulete mkono wako uuweke ubavuni mwangu, na usiwe asiyeamini, bali uwe aaminiye. Naye Tomaso akajibu akamwambia, Bwana wangu na Mungu wangu! Yesu akamwambia, Tomaso, kwa kuwa umeniona, umeamini; heri wanayo wale ambao hawajaona, ilhali wameamini.
(Yohana 21:16-17) Akamwambia tena mara ya pili, Simoni wa Yona, je, wanipenda? Akamwambia, Ndiyo, Bwana; wewe unajua kuwa nakupenda. Akamwambia, Lisha kondoo wangu. Akamwambia mara ya tatu, Simoni, mwana wa Yona, je, unanipenda? Petro alihuzunika kwa vile alivyomwambia mara ya tatu, je, unanipenda? Na akamwambia, Bwana, wewe unajua mambo yote; wewe unajua ya kwamba nakupenda. Yesu akamwambia, Lisha kondoo wangu.

Swahili Gospel Song "Sala ya Watu wa Mungu" | Ishini Katika Upendo wa Mungu


Swahili Gospel Song "Sala ya Watu wa Mungu" | Ishini Katika Upendo wa Mungu


Utambulisho

Watu wa Mungu wanainuliwa mbele ya kiti Chake cha Enzi,
maombi mengi mioyoni mwao.
Mungu huwabariki wote wanaorejea Kwake;
wote wanaishi katika mwanga.
Omba Roho Mtakatifu alipe nuru neno la Mungu
ili kwamba tujue kikamilifu mapenzi ya Mungu.
Tunaomba watu wote walitunze sana neno la Mungu
na waje kutafuta kumjua Mungu.
Tunaomba Mungu atupe zaidi ya neema Yake,
ili tabia zetu ziweze kubadilika.
Tunaomba Mungu atufanye wakamilifu
ili tuwe moyo na mawazo moja pamoja na Yeye.
Tunaomba Mungu atufundishe nidhamu
ili tuweze kutimiza wajibu wetu Kwake.
Tunaomba Roho Mtakatifu kila siku atuongoze
kuhubiri na kumshuhudia Mungu.