Jumanne, 13 Februari 2018

Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee V | Utakatifu wa Mungu (II) | 4. Majaribu ya Shetani

Umeme wa Mashariki | 4. Majaribu ya Shetani

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Bwana Yesu,
Bwana Yesu hujaribiwa - mawe kuwa chakula

Mwenyezi Mungu alisema, (Mat 4:1-4) Kisha Yesu akaongozwa na Roho kwenda nyikani ili ajaribiwe na Ibilisi. Na baada ya kufunga siku arobaini mchana na usiku, mwishowe alihisi njaa. Na mjaribu alipomjia, alimwambia, Ukiwa wewe ndiwe Mwana wa Mungu, amuru kwamba mawe haya yawe mikate. Lakini Yesu akamjibu akasema, Imeandikwa, Mtu hataishi kwa mkate peke yake, ila kwa kila neno linalotoka katika kinywa cha Mungu. Haya ndiyo maneno ambayo ibilisi kwanza alijaribu kumjaribu Bwana Yesu. Ni nini maudhui ya aliyoyasema ibilisi? Endelea na uyasome. Ukiwa wewe ndiwe Mwana wa Mungu, amuru kwamba mawe haya yawe mikate Ibilisi alisema maneno haya, ambayo yalikuwa rahisi kiasi, lakini kuna shida na maudhui muhimu ya maneno haya?

Jumatatu, 12 Februari 2018

Swahili Gospel Movie "Ndoto Yangu ya Ufalme wa Kibinguni"


Swahili Gospel Movie "Ndoto Yangu ya Ufalme wa Kibinguni"


Utambulisho

Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu, Filamu za Injili,
Ndoto Yangu ya Ufalme wa Kibinguni

    Song Ruiming ni mchungaji wa kanisa huko Korea Kusini. Kama mfuasi wa dhati wa Bwana kwa miaka mingi, amekuwa akifuatilia imani yake kwa bidii sana na kumfanyia kazi Bwana huku akisubiri kuinuliwa hadi katika ufalme wa mbinguni Bwana atakaporudi. Katika miaka ya hivi karibuni, amekuwa akihisi kuchanganyikiwa sana na mwenye udhaifu anapokuwa akiona kwamba Kanisa halina kazi ya Roho Mtakatifu na linazidi kuwa na ukiwa. Hapo ndipo aliposikia kuhusu dhehebu kwa jina la Umeme wa Mashariki linaloibuka nchini China ambalo linashuhudia kurudi kwa Bwana Yesu—Mwenyezi Mungu, ambaye Anafanya kazi ya hukumu katika siku za mwisho kwa kuonyesha ukweli. Hivyo Song Ruiming na mhubiri Cui Cheng'en walisafiri kwenda China kujifunza Umeme wa Mashariki, ambapo hatimaye waliyasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, na kugundua kwamba maneno yote ya Mwenyezi Mungu ni ukweli, sauti ya Mungu! Mwenyezi Mungu huenda ndiye Bwana Yesu aliyerejea!

Jumapili, 11 Februari 2018

Best Swahili Christian Worship Song “Maisha Yetu Sio Bure”


Best Swahili Christian Worship Song “Maisha Yetu Sio Bure”


Utambulisho

Maisha yetu sio bure. Maisha yetu sio bure.

Leo tunakutana na Mungu, tunapitia kazi Yake.
Tumemjua Mungu katika mwili, wa utendaji na wa hakika.
Tumeiona kazi Yake, nzuri na ya ajabu.
Kila siku ya maisha yetu sio bure.
Tunamshuhudia Kristo kama ukweli na uzima!
Kufahamu na kukumbatia fumbo hili.
Nyayo zetu ziko katika njia ng’avu zaidi ya hadi katika uzima.
Hatutafuti tena, yote yako wazi kwetu.
Mungu, tutakupenda Wewe milele bila majuto.
Tumepata ukweli, uzima wa milele tutapata.
Maisha yetu sio bure, sio bure.
Maisha yetu sio bure. Maisha yetu sio bure.

Swahili Christian Testimony Video "Utamu katika Shida" | Mungu Ndiye Nguvu Wangu


Swahili Christian Testimony Video "Utamu katika Shida" | Mungu Ndiye Nguvu Wangu 

Utambulisho

Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu, Wakristo,
Utamu katika Shida

    Han Lu ni kiongozi wa Kanisa la Mwenyezi Mungu katika China bara. Ameamini katika Mungu kwa zaidi ya muongo mmoja na amepitia kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho. Anaelewa baadhi ya ukweli na anajua kwamba ni kupitia tu Kristo wa siku za mwisho, Mwenyezi Mungu, ndiyo mwanadamu ataweza kuwekwa huru kutoka dhambini na kuishi maisha yenye maana. Ametupa mbali kila kitu kumfuata Mwenyezi Mungu, na ametembea huku na huku na kushuhudia kuonekana kwa Mungu na kazi katika siku za mwisho. Hata hivyo, nchini China ambako chama cha kisiasa kikanamungu cha CCP kiko mamlakani, hakuna uhuru wa imani ya dini kwa vyovyote. Serikali ya CCP imetoa hati za siri ikipiga marufuku kabisa makanisa yote ya nyumbani, na wamewakamata kwa hasira na kuwatesa Wakristo. Han Lu na wengine walichunguzwa na kufuatwa na maafisa wa polisi wa CCP, ambayo ilisababisha kukamatwa kwao.

Jumamosi, 10 Februari 2018

Christian Testimony Video Swahili "Moyo Uliopotea Waja Nyumbani" Wokovu wa Ajabu wa Mungu



Christian Testimony Video Swahili "Moyo Uliopotea Waja Nyumbani" Wokovu wa Ajabu wa Mungu


Utambulisho

   
Moyo Uliopotea Waja Nyumbani
Tangu alipokuwa mdogo, Novo alimwamini Bwana Yesu, kama mama yake tu. Hata kama alisoma Biblia, kuomba, na kuhudhuria mahubiri mara kwa mara, mara nyingi hangeweza kujizuia bali kufuata mielekeo mibaya ya dunia, kutamani raha za mwili, na kudanganya na kusema uwongo…. Alikusudia mara nyingi kuyaacha maisha ya aina hiyo ya kuzunguka katika kutenda dhambi na kukiri, kukiri na kutenda dhambi.

Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe III Kazi ya Bwana Yesu katika umri wa neema

Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe III | Kazi ya Bwana Yesu katika umri wa neema

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Yesu,
Wanafunzi walipiga masikio ya ngano siku ya Sabato

Mwenyezi Mungu alisema, Vikao hivi kadhaa vya ushirika vimekuwa na athari kubwa katika kila mmoja wa watu. Kwa sasa, watu wanaweza hatimaye kuhisi uwepo wa kweli wa Mungu na kwamba Mungu kwa hakika yuko karibu sana na wao. Ingawa watu wameamini katika Mungu kwa miaka mingi, hawajawahi kuelewa kwa kweli mawazo na fikira Zake kama wanavyozielewa sasa, wala hawajawahi kupata kwa kweli uzoefu wa matendo Yake halisi kama walio nao kwa sasa. Kama ni maarifa au matendo halisi, wengi wamejifunza kitu kipya na kutimiza ufahamu wa juu zaidi, na wametambua kosa lililopo kwenye ufuatiliaji wao wa kale, wametambua hali yao waliyopitia ya juujuu na kwamba mambo mengi sana hayaambatani na mapenzi ya Mungu, na wametambua kwamba kile ambacho binadamu amepungukiwa nacho zaidi ni maarifa ya tabia ya Mungu.

Ijumaa, 9 Februari 2018

Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe III | Bwana Yesu aliyefufuliwa

13. Yesu Ala Mkate na Kuonyesha Maandiko Baada ya Kufufuka Kwake

Bwana Yesu, Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki,
Bwana Yesu aliyefufuliwa alichukua samaki


(Luka 24:30-32) Ikawa kwamba, alipokuwa ameketi nao kwa ajili ya chakula, alichukua mkate, na akaubariki, na akaumega, na akawapa. Na macho yao yakafumbuliwa, na wakamfahamu; kisha akatoweka machoni pao. Kisha wakaambiana, je, Mioyo yetu haikuwaka moto ndani yetu, hapo alipokuwa akisema nasi njiani, na alipotufunulia maandiko?